Habari
Wanne wafikishwa mahakamani kwa kuteka na kumlawiti mwanablogu Mombasa
Watu wanne wamefikishwa katika mahakama ya Shanzu kaunti ya Mombasa nchini Kenya na kushtakiwa kwa utekaji nyara na kumlawiti mwanablogu mnamo Septemba ...Wawili wakutwa wameungua moto kwenye msitu wa hifadhi Korogwe
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limesema watu watatu wamefariki dunia baada ya kuungua moto katika eneo la ndani ya Msitu wa ...Rais Samia: Tusikubali kugawanywa kwa sababu za kisiasa
Rais Samia Suluhu Hassan amewasihi Watanzania kuwakataa wale wote wanaotaka kuligawa Taifa kwa sababu za kisiasa au tofauti za kiitikadi kwa ajili ...Jeshi la Polisi: Maandamano ya CHADEMA yasingekuwa ya amani kama walivyosema
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limewakamata watu 14 wakiwemo baadhi ya viongozi wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti ...Nafasi 167 za Ajira Serikalini
POST: MTENDAJI WA KIJIJI III – 9 POST Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Monduli More Details 2024-09-30 Login to Apply POST: MTENDAJI WA KIJIJI III ...Watano wakamatwa kwa kuwaua wanaodaiwa kuwa wezi na kuteketeza miili yao
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kuwakamata na kuwaua watu wawili waliojulikana kwa jina la Ntawa Limbu ...