Habari
Jeshi la Polisi lazuia mkutano wa Lissu Tanga
Jeshi la Polisi Wilaya ya Tanga limezuia mkutano wa hadhara uliotarajiwa kufanyika Septemba 20, 2024 Tanga Mjini ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu ...Madaktari bingwa wafanikiwa kuziba mfuko wa chakula wenye matundu mengi
Madaktari Bingwa na Ubingwa Bobezi wamefanikiwa kufanya upasuaji kwa mwanaume mwenye umri wa miaka (41) mkazi wa Wilaya ya Nachingwea na kufanikiwa ...Nchi 10 za Afrika zenye uhuru zaidi wa kupiga kura
Uhuru wa kupiga kura ni mojawapo ya haki za msingi katika jamii za kidemokrasia. Haki hii inampa kila raia uwezo wa kuchagua ...Dkt. Mwinyi aihakikishia Uingereza kuendelea kudhibiti ugonjwa wa Trakoma
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameihakikishia Uingereza kwamba Zanzibar inaendelea na mikakati na juhudi ...Watu waliokulia kwenye umasikini huonesha tabia hizi 6 wanapokuwa watu wazima
Kuna uhusiano wa kina kati ya malezi yetu na mazoea tunayokuwa nayo tukiwa watu wazima. Kukua katika hali ya umaskini kunaweza kututengeneza ...Tanzania ya kwanza Afrika Mashariki, Kusini na Kati kwa usalama mtandaoni
Tanzania imeshika nafasi ya kwanza Afrika Mashariki, Kusini na Kati kwa usalama wa mtandaoni, kwa mujibu wa Ripoti ya Kielezo cha Usalama ...