Habari
Rais Ruto: Nimefanya maamuzi magumu na sina majuto yoyote
Rais wa Kenya, William Ruto, ameendelea kusimama imara katika ajenda yake ya kuimarisha uchumi na kupunguza gharama ya maisha, huku akiwapuuza vikali ...Miili ya watu wanne yaokotwa Handeni, Tanga
Jeshi la Polisi mkoani Tanga limesema limeokota miili ya watu wanne wakiwemo wanaume watatu na mwanamke mmoja katika maeneo tofauti ya Wilaya ...Mume ashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mkewe, chanzo mgogoro wa kifamilia
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia James Lugembe (55), mkazi wa Kitongoji cha Manzese B, Kata ya Mkwatani, Wilaya ya Kilosa, kwa ...Serikali yatenga bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili Mara
Serikali imetoa kiasi cha shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili mkoani Mara ambazo ni shule ya Sekondari ya ...Serikali yatoa bilioni 28.4 kuimarisha sekta ya elimu mkoani Manyara kupitia mradi wa SEQUIP
Mkoa wa Manyara umepokea kiasi cha Shilingi bilioni 28.499 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali ambayo tayari imeanza kufanya kazi huku ...Serikali yatoa bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili Siha
Serikali imetoa jumla ya shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) katika ...








