Habari
Wasifu mfupi wa Mwendazake Mhandisi Mfugale
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale afariki dunia leo Juni 29, 2021. Mfugale ambaye ni mbobezi katika ...Zuma jela kwa kudharau mahakama
Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amehukumiwa kifungo cha miezi 15 jela baada ya mahakama ya juu nchini humo kumtia hatiani ...Faini elfu 50 kwa wanaotupa taka hovyo
Mkuu wa mkoa wa Iringa, Queen Sendiga amepiga marufuku wananchi wote kutupa takataka na kuchafua mazingira hovyo ili kuendelea kuyaweka mazingira kuwa ...Diamond: Wakati mwingine tutashinda BET
Mwanamuziki Diamond Platnumz amewashukuru Watanzania kwa upendo na umoja waliomuonesha katika kipindi chote cha kuwania tuzo ya BET nchini Marekani. Diamond ametoa ...Kelvin John asajiliwa KRC Genk ya Ubelgiji
Mshambuliaji kinda wa Tanzania, Kelvin John ‘Mbappe’ (18) amesajiliwa na KRC Genk ya Ubelgiji kwa mkataba wa miaka mitatu, hadi mwaka 2024, ...Mahakama Kuu yawafutia hukumu Mbowe na wenzake, yaamuru faini zao kurejeshwa
Mahakama Kuu imetengua hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu iliyowatia hatiani Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake saba, na kumriwa ...