Habari
Kiswahili rasmi kutumika mikutano yote ya Umoja wa Afrika
Lugha ya Kiswahili imechaguliwa kuwa lugha rasmi kutumika katika mikutano yote itakayoendeshwa na Umoja wa Afrika (AU). Akiongea na waandishi wa habari ...Mashine ya kunyanyua vitu vizito ya TPA yazama baharini
Mashine ya kunyanyua vitu vizito (Crane) ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) iliyokuwa ikishushwa kutoka kwenye Meli ya LCT AJE 1 jana ...Dangote: Mazingira ya biashara Tanzania yamebadilika na kuimarika
Mfanyabiashara wa Nigeria, Alhaji Aliko Dangote amesema atawahimiza wafanyabiashara na wawekezaji wenzake kuwekeza Tanzania kutokana na kubadilika na kuimarika kwa mazingira ya ...Bashungwa ataka wasanii kuwa na bima za afya
Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amehimiza wasanii nchini kuhakikisha wanamiliki bima za afya ambazo zitawasaidia wanapokuwa wagonjwa wakati ...Rais Samia ateua mabalozi 23
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mabalozi 23 kama ifuatavyo; Amemteua Lut. Jen. Yakub Hassan Mohamed. Lut. Jen. Yakub ...SGR Dar-Moro kuanza kutumika Agosti 2021
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema kuwa majaribo ya treni ya abiria yanatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi ...