Habari
Ahukumiwa jela maisha kwa kubaka na kumlawiti mtoto wa miaka sita
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, imemhukumu Shabani Mohamed (27), mkazi wa Mchangani, kifungo cha maisha gerezani baada ya ...TRC yaongeza safari za treni Juni 27 na 28
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza safari za treni kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam kwa treni za EMU maarufu mchongoko ...Waziri Mkuu asisitiza Uchaguzi Mkuu kufanyika Oktoba kama ilivyopangwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 yanaendelea kama yalivyopangwa, huku akiwataka wananchi na wadau wengine kushiriki ...SBL YAKABIDHI MRADI WA MAJI KWA WAKAZI 14,000 WA KWADELO, WILAYA YA KONDOA
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), kwa kushirikiana na shirika la Africa Community Advancement Initiative (Africai), imekamilisha na kuzindua rasmi Mradi wa ...Serikali kuwarejesha leo Watanzania 42 waliokwama nchini Israel
Serikali imetangaza kuwa raia 42 wa Kitanzania waliokuwa wamekwama nchini Israel kutokana na mgogoro unaoendelea, wanatarajiwa kuwasili nchini leo, Juni 25, 2025. ...Sudan yaituhumu Kenya kuwapa waasi silaha
Serikali ya Sudan inayoungwa mkono na jeshi imeituhumu Kenya kwa kusafirisha silaha kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) hadi kwa kundi ...









