Habari
Tangazo la kazi Ubalozi wa Ireland
Ubalozi wa Ireland nchini Tanzania umetangaza nafasi ya kazi katika nafasi ya Programme Manager – Sexual and Reproductive Health and Nutrition. Taarifa ...Sirro: Jeshi la Polisi kukagua yanayofundishwa nyumba za ibada
Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa lintakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili ...Uingereza yaipongeza Tanzania wa kuboresha haki za binadamu
Uingereza imeipongeza Tanzania kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya biashara, uwekezaji, haki za binadamu na utawala bora, jambo ambalo limeimarisha ushirikiano ...Nafasi 84 za ajira serikalini
Mara kwa mara tutakuletea matangazo ya ajira mbalimbali zinazotanagazwa na serikali pamoja na sekta binafsi, kuhakikisha hupitwi na fursa ya kupata kazi. ...Mbinu zinazotumika kutapeli vijana/wazazi ajira Jeshi la Polisi
Siku chache baada ya jeshi la polisi kutangaza nafasi za ajira limeripoti kwamba kumeibuka wimbi la matapeli wanaotuma ujumbe na kuwapigia watu ...Wafanyabiashara waruhusiwa kuingiza mbolea kukabili upungufu
Serikali imekiri kuwa kuna upungufu wa mbolea kwa ajili ya shughuli za kilimo nchini na kusema kama mkakati wa muda mfupi wamewaruhusu ...