Habari
Rais Samia aja na mkakati wa kuitangaza Tanzanite
Katika hatua ya kuhakikisha kuwa wananchi na Taifa kwa ujumla wananufaika na rasilimali zilizopo, serikali imekuja na mkakati wa kuyatangaza zaidi madini ...Aliyefumua kidonda cha mgonjwa kwa kushindwa kulipia asimamishwa kazi
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Wizara ya TAMISEMI zimefanikiwa kumpata mhudumu wa afya aliyetoa nyuzi kwenye ...Bunge latekeleza agizo la Rais Samia kuhusu bima ya afya
Bunge la Tanzania leo limepitisha muswada wa marekebisho ya Sheria ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ambayo yanalenga kuongeza umri ...Asakwa kwa kumfumua mgonjwa kidonda baada ya kushindwa kulipia
Mhudumu wa afya ambaye hajafahamika jina lake wala kituo cha kazi amedaiwa kufumua nyuzi kwenye kidonda cha mgonjwa kwa madai mgonjwa huyo ...Rais Samia alivyombana Askofu Gwajima hadharani chanjo ya Corona
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo amezungumza na wakazi wa Tegeta. Dar es Salaam na kuwaeleza masuala mbalimbali ambayo serikali inakusudia ...Ujerumani kuipa Tanzania chanjo ya UVIKO-19
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel. Katika mazungumzo hayo, Merkel amempongeza Rais ...