Habari
Rais Samia ateua viongozi wa taasisi mbalimbali
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wa taasisi mbalimbali kama ifuatavyo; Amemteua Dkt. Jones A. Kilimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ...Msigwa: Kipindi cha mpito kwa waandishi kinaisha Desemba 2021
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewakumbusha wanahabari kuwa kipindi cha mpito kinachowataka wawe na ...Waziri Ndugulile atoa siku saba hoja za CAG zijibiwe
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile ameziagiza taasisi zilizo chini ya wizara yake kutoa majibu ya hoja za ...Wasanii kutumia akaunti zao za YouTube bure
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi amesema Wizara hiyo, Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya ...Shambulio la waasi lamuua Rais wa Chad
Rais wa Chad, Idriss Derby amefariki dunia saa chache baada ya kutangazwa mshindi wa Urais kwa muhula wa sita. Taarifa za kifo ...Dkt. Tulia: Milioni 50 kila kijiji haipo, Rais Samia hakuahidi
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amewataka wabunge kutombebesha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan mzigo ambao hastahili kwamba ...