Habari
Treni ya abiria yapata ajali Kigoma na kujeruhi 70
Treni ya abiria namba Y14 ikiwa na kichwa cha treni namba 9002, mabehewa 12 ya abiria, behewa moja la vifurushi (parcel) na ...Mashirika, taasisi zatakiwa kujikita kuwekeza nje ya nchi
Taasisi na Mashirika ya Umma nchini yametakiwa kujikita katika kufikiria njia mbalimbali zitakazowawezesha kuwekeza nje ya nchi ili kusaidia nchi iendelee kujitawala ...Rais Samia ampongeza Odinga kwa kudumisha mahusiano mazuri na viongozi wa Afrika
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inamuunga mkono Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya, Raila Odinga ambaye anawania nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ...Mbwa wote wanaozurura mitaani kuuawa Kibaha
Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha imeagiza mbwa wasiokuwa na makazi na kuzurura ovyo mitaani kuuawa kwani wamekuwa tishio kubwa kwa jamii kutokana ...Rais Mwinyi: China imeisaidia sana Zanzibar kimaendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema China imekuwa ikiisaidia Zanzibar katika mambo mbalimbali ya ...Miili ya watu watatu yafukuliwa nyumbani kwa mganga wa kienyeji, saba wakamatwa
Jeshi la Polisi linawashikilia watu saba akiwemo mganga wa kienyeji, Nkamba Kasubi kwa kosa la mauaji ya watu watatu ambao wanadaiwa kuuawa ...