Habari
Bei ya mafuta yashuka, hizi ni gharama mpya kwa mikoa yote nchini
Cap Prices for January 2025 – Kiswahili – 31122024Bodi yatangaza kusimama kwa Ligi Kuu NBC kwa miezi miwili
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kusimama kwa michezo ya Ligi Kuu ya NBC hadi Machi 1, 2025 itakaporejea kwa michezo ...Wakamatwa kwa kumuua mwanamke kisa wivu wa mapenzi
Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewakamata watuhumiwa wawili waliokuwa wakitafutwa kwa tuhuma za mauaji ya Editha Anderson (32) mkazi wa Mtaa wa ...Auawa akijaribu kumshambulia msanii jukwaani usiku wa Krismasi
Mwanaume mwenye umri wa miaka 24, anayejulikana kwa jina Anthony Ouma, ameuawa na mashabiki wenye hasira katika klabu ya usiku mjini Bondo ...Bwana harusi aliyejiteka apandishwa mahakamani
Vincent Masawe (36) mkazi wa Kigamboni na Bwana harusi aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha na baadaye kupatikana akiwa kwa amejificha kwa mganga ...Watu saba wafariki kwenye ajali Handeni, DC atoa tamko
Watu saba wamepoteza maisha na wengine 10 wamejeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha lori na Coaster eneo la Michungwani Kata ya Segera wilaya ya ...