Habari
Tisa wanaopima COVID19 uwanja wa ndege wasimamishwa kazi
Watumishi tisa wa Kitengo cha upimaji wa COVID-19 kwa wasafiri katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar ...Tanzania yajiunga rasmi COVAX, yaahidiwa chanjo kutoka Umoja wa Ulaya
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania tayari imejiunga na mpango wa kimataifa wa ugawaji wa chanjo ya #COVID19 kwa nchi ...Wafanyabiashara watakiwa kutoingia Soko la Kariakoo uchunguzi ukiendelea
Waziri Mkuu Kaasim Majaliwa ameipa siku saba za awali tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha moto katika soko la kimataifa la Kariakoo ili ...Tanzania: Matokeo ya kidato cha sita (ACSEE) ya shule za serikali
Bivariate map showing regional GPA (government owned schools only) and per student capitation grant for 2019/2020 Note that for ACSEE, a lower ...Matokeo ya kidato cha sita na ualimu mwaka 2021 yaliyotangazwa leo
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), Dkt. Charles Msonde ametangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 2021 ...Bomoa bomoa nyingine yanukia Kimara
TANROAD imetoa siku 30 (kuanzia Julai 9) lwa wakazi Kimara kuondoa kuta, vibada, mashimo ya maji taka, nyumba zilizopo katika hifadhi ya ...