Habari
Msajili avionya vyama vya siasa kuhusu uchochezi na lugha za dhihaka
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amevionya vyama vya siasa kuepuka lugha za uchochezo, dhihaka, dharau na vitisho wakati vikiendelea ...Vyuo vya IFM na TIA vyatakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ya serikali
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamadi Yussuf Masauni, amekiagiza Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) na Chuo cha Uhasibu Tanzania ...Rais: Wapuuzeni wenye chokochoko, watavuruga amani
Rais Samia Suluhu Hassan amewasihi wakazi wa mkoa wa Morogoro pamoja na wananchi wengine kuendelea kuitunza amani iliyopo nchini kwasababu ndio msingi ...Rais Samia akutana na bosi wa Barrick Gold, wazungumzia kampuni ya Twiga
Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Barrick Gold, Mark Bristow amemhakikishia Rais Samia Suluhu Hassan Samia Barrick Gold itaendelea kushirikiana na Serikali ...Rais Samia azungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Julai 6, 2021 amezungumza kwa njia ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, ...Wasifu wa CDF Jenerali Mabeyo ndani ya JWTZ
Jenerali Venance Mabeyo ni Mkuu wa Majeshi wa nane kuliongoza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tangu alipoteuliwa Februari 6, 2017 ...