Habari
Katibu wa CHADEMA Rungwe akamatwa kwa uchochezi
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limesema linamshikilia Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Rungwe na Makamu Mwenyekiti Hamasa ...Polisi: Hakuna askari aliyechomwa moto Njombe
Jeshi la Polisi mkoani Njombe limekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoeleza kuhusu askari polisi mkoani humo kuchomwa moto na kuporwa ...Mlipuko wa virusi vya Nipah India waibua hofu Asia
Baadhi ya nchi za Asia zimeanza kuchukua hatua za ukaguzi kwa wasafiri katika viwanja vya ndege na mipakani kufuatia mlipuko wa virusi ...Mama ashikiliwa tuhuma za kuua watoto wake watatu wakiwemo pacha
Polisi wa Mlolongo, Kaunti ya Machakos nchini Kenya wanamshikilia mwanamke aitwaye Linet Mubaba, anayedaiwa kuwapa sumu watoto wake watatu baada ya kutokea ...Rais Samia apongeza juhudi za Kampuni ya Bia ya Serengeti katika utunzaji wa mazingira
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan,ametoa tuzo kwa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) ikiwa ni ...Mwanafunzi adaiwa kumwagia mwenzake tindikali kisa amekataa wasirudiane
Mwanafunzi kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Kiufundi ya Rift Valley (RVTTI) nchini Kenya, Tonny Kangor (24) amefikishwa mahakamani akikabiliwa na mashtaka ya ...








