Habari
Mwanamke akamatwa kwa kumtapeli raia wa China milioni 267
Maafisa wa Upelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) wamemkamata mwanamke mmoja kwa tuhuma za kumtapeli raia wa China kiasi cha ...Rais Samia: Tutaendelea kurahisisha shughuli za bodaboda nchini
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kurahisisha ufanyaji wa shughuli za maafisa usafirishaji maarufu bodaboda ili waweze kuendelea kutoa huduma za ...‘Big Mama’ ashitakiwa kwa kusambaza picha za ngono za watoto
Mwanamke mmoja wa makamo, Regina Munyoki maarufu kama Big Mama, amefikishwa katika Mahakama ya Mombasa nchini Kenya akikabiliwa na mashitaka ya kusambaza ...Serikali: Tunafanya juhudi kuwarejesha nyumbani Watanzania walioko Iran na Israel
Kutokana na vita vinavyoendelea kati ya Iran na Israel, Serikali ya Tanzania imesema inaendelea na juhudi za kuwaorodhesha Watanzania waliopo katika nchi ...Rais: Daraja la JP Magufuli limegharamiwa kwa kodi za Watanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ujenzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo – Busisi) lililotumia shilingi bilioni 718 hadi kukamilika kwake umegharamiwa ...Vyombo vya Habari vyaaswa kuelimisha umma juu ya umuhimu wa usimamizi wa mnyororo wa ugavi
Kamishna wa Idara ya Sera za Ununuzi wa Umma, Dkt. Frederick Mwakibinga amewataka wamiliki na wahariri wa mitandao ya kijamii nchini kutumia ...









