Habari
Rais Magufuli azuia kubomolewa hoteli ya Sugu mkoani Mbeya
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kuwa Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema hakuna mtu yeyote atakayebomoa hoteli ya ...Kupotea kwa sampuli za COVID-19 Maabara ya Taifa kwa muibua Mganga Mkuu wa Serikali
Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Abel Makubi ameshangazwa na kitendo cha kupotea kwa baadhi ya sampuli za Covid-19 ambazo zimekuwa zikifikishwa katika ...Rais Magufuli awapa siri viongozi wa kimataifa namna ya kuishinda COVID-19
Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli ametoa wito kwa viongozi wa mataifa mbalimbali duniani kukubali kumweka Mungu mbele katika mapambano dhidi ya ugonjwa ...Rais Magufuli apiga ‘stop’ urejesha fomu za maadili kwa njia ya mtandao
Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli ameitaka Sekretarieti ya Maadili ya viongozi kuachana na ujazaji na uwasilishaji wa fomu za maadili ya uongozi ...TCRA yaagizwa kuchunguza wizi na gharama za vifurushi vya mitandao ya simu
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amelitaka Baraza la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano (TCRA – CCC) kushughulikia ...Serikali kufanya uhakiki wa raia wa kigeni walioajiriwa shule binafsi
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amezitaka shule binafsi kuacha tabia ya kuajiri walimu na wafanyakazi wa kigeni katika ...