Habari
Waziri Aweso awasweka rumande vigogo watano Mwanza
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kuwaweka mahabusu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Mjini Mwanza (MWAWASA), Meneja ...Wakili wa serikali akamatwa kwa tuhuma ya rushwa
TAKUKURU Mkoa wa Manyara inamshikiliwa Mwendesha Mashitaka wa mkoa huo, Mutalemwa Kishenyi kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya TZS milioni ...Kimbunga Jobo chapungua kasi ghafla
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imesema kuwa Kimbunga Jobo kipo umbali wa 200km kutoka Kisiwa cha Mafia na kwamba kimepungua kasi ...Tulia: Ofisi ya Spika haina taarifa za Wabunge waliofukuzwa CHADEMA
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa ofisi ya Spika wa Bunge haina taarifa za wabunge wa viti ...Taarifa mpya ya TMA kuhusu Kimbunga Jobo
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Dkt. Agnes Kijazi amesema inatarajiwa kuwa Aprili 25, 2021 kimbunga Jobo kitakuwa kimetua maeneo ...