Habari
Wanafunzi 5 wa Chuo cha Uhasibu wakamatwa kwa kuiba milioni 20 mtandaoni
Wanafunzi watano wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wamekamatwa kwa makosa ya wizi wa zaidi ya Shilingi milioni 20 kwa njia ya ...Watu tisa wajeruhiwa kwa moto Songwe, Polisi yamshikilia mmoja
Watu tisa wamejeruhiwa kwa moto walipokuwa wakijaribu kuokoa mali kwenye duka la kuhifadhi na kuuza vinywaji vya jumla na reja reja katika ...Tanzania kushirikiana na Burundi kuwarejesha kwa hiari wakimbizi waliopo nchini
Serikali imesema inaendelea kushirikiana na Serikali ya Burundi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kushughulikia Wakimbizi Duniani (UNHCR) kuwarejesha kwa hiari yao ...Waziri Ulega akemea vitendo vya rushwa miongoni mwa watumishi wa TEMESA
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amekemea vitendo vya ubabaishaji na rushwa miongoni mwa watumishi wa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) ...Polisi: Bernard Morrison aache kujificha, afike kituo cha Polisi
Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi wa taarifa inayaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mchezaji Bernard Morris kutuhumu huduma ya Kituo cha Polisi ...Adai kukatwa mkono na mumewe baada ya kuchelewa kurudi nyumbani
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamtafuta Charles Peter mkazi wa Kata ya Mwendakulima, Manispaa ya Kahama mkoani humo kwa tuhuma za kumkata ...