Habari
Mwanaume aliyeita watu 50 kumbaka mke wake afungwa miaka 20
Mahakama nchini Ufaransa imetangaza kumtia hatiani aliyekuwa mume wa Gisele Pelicot na washitakiwa wenzake 50 kwa kosa la kumlewesha hadi kupoteza fahamu ...Ridhiwani: Vijana toeni maoni kwa uwazi Rasimu ya Dira ya Taifa
Vijana wametakiwa kushiriki kikamilifu katika uhakiki wa Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kutoa maoni yanayogusa vijana ikiwemo kubainisha ...Kijana wa miaka 20 ahukumiwa jela maisha kwa kumlawiti ndugu yake
Mashauri Ng’oga Shauri (20) mkazi wa kitongoji cha Mwankuba, kijiji cha Nyambiti, Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza, amehukumiwa kifungo cha maisha jela ...Ridhiwani: Serikali itaendelea kupigania haki za watu wenye ulemavu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete amesema Serikali itaendelea kuhakikisha kwamba inapigania haki ...Waziri Bashungwa aipa NIDA miezi miwili vitambulisho viwafikie wananchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa miezi kwa miwili Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuhakikisha vitambulisho milioni ...Watatu wahukumiwa jela miaka 30 kwa kusafirisha bangi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kwa kipindi cha kuanzia mwezi Oktoba, 2024 hadi sasa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wa ubakaji na ...