Habari
Orodha ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2021
Wanafunzi 759,706 (91.1%) kati ya wanafunzi 759,737 wamechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwaka 2021. Taarifa hiyo imetolewa leo Disemba 17, 2020 na ...Kituo cha daladala Mwenge kuanza kutumika Machi 2021
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Aboubakar Kunenge ameitaka Manispaa ya Kinondoni na mkandarasi kutoka JKT kuhakikisha ujenzi wa kituo cha ...NYAKUA FRIJI, MASHINE YA KUFULIA NA SMART TV KUTOKA INFINIX
Dar es Salaam, 16/12/2020-Kampuni ya simu Infinix imezindua rasmi Kampeni ya Christmas na Mwaka mpya inayofahamika kama HIT THE JACPOT BE A ...Uhamiaji yapewa siku 60 kesi ya uraia ya bosi wa Twaweza au irudishe pasipoti yake
Mahakama ya Rufani imesema kitendo cha Idara ya Uhamiaji Tanzania kushikilia hati ya kusafiria ya Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza, Aidan Eyakuze kwa ...Waziri Ummy Mwalimu aionya NEMC utoaji wa vibali vya uwekezaji
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Ummy Mwalimu ameliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa ...China kuisaidia Tanzania ujenzi wa SGR na mradi wa umeme Mto Rufiji
China imesema itaangalia namna ya kushirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo reli ya kati kwa kiwango cha ...