Habari
Rais Magufuli: Sitabadilisha wakuu wa mikoa na wilaya, wamechangia ushindi
Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli amesema kuwa hana mpango wa kubadilisha wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, makatibu wakuu, na kwamba ...Godbless Lema akamatwa Kenya akitafuta hifadhi Ubalozi wa Marekani
Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini kupitia CHADEMA, Godbless Lema amekamatwa na Polisi katika Kaunti ya Kajiando nchini Kenya baada ya yeye na ...Nigeria kuzifunga akaunti za benki zilizotumika wakati wa maandamano
Benki Kuu ya Nigeria imepewa kibali na mahakama kuzifunga (freeze) akaunti 20 za benki zinazohusishwa kutumika wakati wa maandamano ya kupinga ukatili ...IGP Sirro: Hatuna taarifa za Tundu Lissu kutishiwa kuuawa
Jeshi la Polisi limesema halina taarifa ya madai yaliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kuwa ametishiwa kuuawa na watu ambao ...Wafanyabiashara wa vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki watakiwa kuomba leseni TCRA
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka watu wote wanaofanya biashara ya uingizaji, usambazaji na uuzaji wa vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki kuwa ...Kituo kipya cha mabasi Mbezi Luis kuanza kutumia Novemba 30
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana amewatangazia wakazi wa jiji hilo na Watanzania kwa ujumla kujiandaa kutumia Kituo cha ...