Habari
Kiwanda cha kuzalisha bangi Rwanda kukamilika Septemba
Ujenzi wa kiwanda cha kuzalisha bangi katika Mji wa Musanze uliopo Kaskazini mwa Rwanda unatarajiwa kukamilika katika wiki ya kwanza ya mwezi ...Rais Samia kuwagharamia walioshindwa kupandikiza figo
Wagonjwa wenye changamoto ya figo wanaohitaji kupandikizwa figo ambayo ni tiba stahiki kwa wagonjwa wanaosafisha damu na hawana uwezo wa kulipia gharama ...Huduma ya NHIF yarejeshwa hospitali za Aga Khan
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umeeleza kurejeshwa kwa huduma kwa wanachama wake katika Hospitali za Aga Khan, mpaka pale ...Kituo cha Haki za Binadamu chataka viongozi wa CHADEMA waachiliwe bila masharti
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeitaka Jeshi la Polisi kuwaachilia huru bila masharti yoyote viongozi wa Chama cha Demokrasia ...Nafasi 490 za Ajira Serikalini
POST: MTENDAJI WA KIJIJI III – 10 POST Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga More Details 2024-08-24 Login to Apply POST: ASSISTANT LECTURER IN ACCOUNTING ...Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Katibu Mkuu, John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph ...