Habari
Rais Dkt. Magufuli ateua Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Ikulu, Chamwino.Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amemteua Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Uteuzi huo unaanza leo Novemba ...Uchaguzi Marekani: Donald Trump ajitangazia ushindi
Mgombea Urais wa Marekani kupitia chama cha Republican, Donald Trump amejitangazia ushindi licha ya kuwa bado mamilioni ya kura hayajahesabiwa. Maafisa kadhaa ...Rais wa Ivory Coast ashinda uchaguzi kwa asilimia 94
Tume ya uchaguzi nchinj Ivory Coast imemtangaza Rais Alassane Ouattara kuwa mshindi wa uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili baada ya kupata asilimia 94 ...Taarifa ya Polisi kuhusu kukamatwa kwa Mbowe, Mdee na Zitto watakiwa kujisalimisha
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linaendelea na oparesheni kali ya kukamata watu wanaofanya mipango ya kuhamasisha maandamano ...Wanafunzi wanne wafariki baada ya kugongwa na gari wakivuka barabara
Jeshi la polisi mkoani Geita linamshikilia Afisa Ardhi wa Wilaya ya Nyag’hwale mkoani Geita, Agostino Sibeye kwa tuhuma ya kuwagonga na na ...CCM yatangaza sifa za wanaotakiwa kuwa Spika, Naibu spika na Meya
Baada ya kuamilika kwa uchaguzi kuu, Chama cha Mapinduzi (CCM) ambacho kimeoata ushindi mkubwa kimewaalika wananchama wa chama hicho wanaotaka kugombea nafasi ...