Habari
Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya vijana yaliyopangwa na CHADEMA
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano na mikusanyiko ya aina yoyote yaliyopangwa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani ...Rais Samia akemea vyama vya ushirika vinavyowakandamiza wakulima
Rais Samia Suluhu Hassan amevitaka vyama vya ushirika kuwalinda, kuwasimamia na kuwatetea wanaushirika na sio kuwanyonya na kuwakandamiza kwa manufaa yao binafsi. ...Ofisi ya Msajili wa Hazina, PSSSF na WCF zaingia ubia kumiliki kiwanda cha chai Mponde
Ofisi ya Msajili wa Hazina kwa kushirikiana na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), pamoja na Mfuko wa ...Ashikiliwa kwa tuhuma za kumnyonga mtoto wa miaka saba
Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Mahango wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumfanyia ...Jeshi la Polisi lafanikiwa kumpata binti aliyefanyiwa ukatili, wanne washikiliwa
Jeshi la Polisi limesema limefanikiwa kumpata binti aliyeonekana kwenye video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii akifanyiwa ukatili, na kwa sasa amehifadhiwa eneo ...Jeshi la Polisi: Tumeanza kufanya uchunguzi kupotea kwa Shadrack
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema limeanza kufanya ufuatiliaji na uchunguzi wa taarifa ya kupotea kwa kijana Shadrack Chaula (24) mkazi ...