Habari
Ofisi ya Msajili wa Hazina: Makusanyo ya mapato yasiyo ya kodi yapanda kwa asilimia 40
Ofisi ya Msajili wa Hazina imerekodi ongezeko la asilimia 40 katika makusanyo ya mapato yasiyo ya kodi ndani ya kipindi cha miezi ...Rais Samia: Mafanikio yaliyopo nchini ni matokeo ya ushirikiano wa Kitaifa
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mafanikio yaliyopatikana nchini katika kipindi cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita yanatokana na utekelezwaji wa ...Mtanzania anaswa kwa uporaji wa magari ya kifahari nchini Kenya
Raia mmoja wa Tanzania, Pinieli Vavai Lemomo, amekuwa miongoni mwa watuhumiwa watatu waliofikishwa katika Mahakama ya Machakos nchini Kenya kwa tuhuma za ...Wanavyuo waliomdhalilisha mwenzao kisa Mwijaku wafikishwa mahakamani
Wanafunzi watatu wanaodaiwa kumdhalilisha mwanafunzi mwenzao wa Chuo Kikuu Ardhi, Magnificat Kimario, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es ...Polisi kuwasaka waliohusika kuwaua wanandoa Moshi
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linawasaka watu waliohusika katika mauaji ya watu wawili ambao ni wanandoa, Geofrey Mota (60), aliyeuawa kwa kukatwa ...Mwanamke aliyemuuza bintiye kwa mganga ahukumiwa kifungo cha maisha jela
Mwanamke aliyemteka na kumuuza binti yake wa miaka sita akiwa na washirika wake wawili nchini Afrika Kusini, amehukumiwa kifungo cha maisha jela. ...









