Habari
Mwanamke aliyemuuza bintiye kwa mganga ahukumiwa kifungo cha maisha jela
Mwanamke aliyemteka na kumuuza binti yake wa miaka sita akiwa na washirika wake wawili nchini Afrika Kusini, amehukumiwa kifungo cha maisha jela. ...Amuua baba mkwe baada ya kuwaamulia ugomvi
Polisi katika eneo la Mukaa, Kaunti ya Makueni nchini Kenya wameanzisha uchunguzi kufuatia tukio la kusikitisha ambapo mwanaume wa makamo anadaiwa kumuua ...Wezi wavunja kanisa, wanywa divai na kula mikate ya sakramenti
Taharuki imetanda miongoni mwa waumini wa Kanisa la Anglikana (ACK) St. Matthew’s Mutithi lililopo Kirinyaga, baada ya watu wasiojulikana kuvunja na kuiba ...Majaliwa: Serikali itaendelea kuwaunganisha wafanyabiashara wa Kitanzania na mataifa mbalimbali
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wa mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Japan ili ...Nafasi 81 za Ajira Serikalini
POST: ASSISTANT LECTURER – ENTREPRENEURSHIP – 2 POSTEmployer: Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT)More Details 2025-06-03 Login to Apply ...Mwanaume wa miaka 52 ashikiliwa kwa kumuua mpenzi wake wa zamani kisa wivu
Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia Macherege Wambura (52) mkazi wa Kijiji cha Robanda Wilaya ya Serengeti mkoani Mara kwa tuhuma za ...









