Habari
Serikali: Pikipiki zimeua watu 1,113 mwaka 2022-2024
Serikali imesema katika kipindi cha kuanzia mwaka 2022 hadi 2024, jumla ya wananchi 1,113 wamepoteza maisha kutokana na ajali zilizosababishwa na pikipiki ...UNAIDS yatabiri ongezeko la maambukizi ya Ukimwi Marekani ikiendelea na usitishwaji wa misaada
Shirika la Umoja wa Mataifa la Ukimwi (UNAIDS) limesema kesi mpya za maambukizi ya HIV na Ukimwi huenda zikaongezeka kwa zaidi ya ...Wakandarasi walipwa bilioni 254 kukamilisha miradi ya ujenzi
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali imelipa takribani TZS bilioni 254 ndani ya miezi miwili kwa wakandarasi mbalimbali wanaotekeleza miradi ya ...Nafasi 27 za Ajira Serikalini
POST: RESEARCH ASSISTANT – (LABORATORY SCIENCE) – 3 POST Employer: Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) More Details 2025-02-17 Login to Apply POST: ASSISTANT ...ACT Wazalendo yazitaka nchi za Afrika kuungana na Afrika Kusini kupinga uamuzi wa Marekani
Chama cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa Februari 8, 2025, wa kukata ...Haya ndio maazimio ya Wakuu wa Nchi wa EAC na SADC kuhusu mzozo DRC
Katika jitihada za kurejesha amani na utulivu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ...