Habari
Rais mstaafu wa Mauritania ahukumiwa miaka 15 jela
Mahakama ya rufaa nchini Mauritania imemhukumu Rais mstaafu, Mohamed Abdel Aziz kifungo cha miaka 15 jela na faini ya dola milioni 3 ...Finland yaipa Tanzania heshima ya kipekee Barani Afrika
Tanzania imetoa wito kwa wawekezaji kutoka nchini Finland kuongeza ushiriki wao katika kuchochea uchumi na biashara nchini kama mbia mkubwa wa maendeleo ...Serikali ya Kenya yafunga jengo la Freemason kwa kutolipa kodi
Serikali ya Kaunti ya Nairobi nchini Kenya imefunga jengo la Freemasons’ Hall la Grand Lodge of East Africa lililoko katikati ya jiji ...BoT: Noti ya Shilingi 10,000 inaongoza katika matumizi ya fedha taslimu nchini
Kwa mujibu wa ripoti mpya ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), noti ya Shilingi 10,000 ndiyo noti inayotumika zaidi nchini Tanzania, ikichangia ...Vodacom Digital Accelerator Yazindua msimu wa 4: Biashara bunifu 15 zateuliwa kushiriki Design Sprint
• Kufundishwa ujasiriamali na Wataalamu wa Kimataifa kutoka Marekani Vodacom Tanzania PLC, kwa kushirikiana na Huawei Tanzania, leo imezindua rasmi Msimu wa ...Naibu Katibu Mkuu CHADEMA akamatwa uwanja wa ndege akielekea Ubelgiji
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limemkamata Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Amani ...