Habari
Rais Tinubu atangaza hali ya dharura Jimbo la Rivers, amsimamisha Gavana
Rais wa Nigeria, Bola Tinubu ametangaza hali ya dharura katika Jimbo la Rivers, linalozalisha mafuta, na kumsimamisha Gavana wa jimbo hilo, Siminalayi ...Ripoti: Marekani yathibitisha kundi hatari la Mexico lilikuwa na maabara ya dawa za kulevya Kenya
Serikali ya Marekani imethibitisha kuwa kundi hatari la uhalifu kutoka nchini Mexico, Jalisco New Generation Cartel (CJNG), lilikuwa likiendesha maabara kubwa ya ...Mkenya aliyehukumiwa kifo Vietnam adaiwa kuwahi kufungwa Ghana kwa usafirishaji madawa
Mwanamke mmoja Mkenya, ambaye kwa sasa yuko gerezani Hong Kong, amedai kuwa aliwahi kufungwa nchini Ghana pamoja na Mkenya anayesubiri kunyongwa nchini ...Israel yashambulia Gaza na kuua zaidi ya watu 400
Zaidi ya Wapalestina 400, wameuawa katika mashambulizi mapya ya Israel ambayo yameonekana kuvunja makubaliano ya usitishwaji wa mapigano Gaza. Hamas imeishutumu Israel ...WHO yasema zaidi ya milioni 10 wanaweza kuambukizwa HIV baada ya Marekani kusitisha misaada
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha uwezekano wa maambukizi mapya ya HIV zaidi ya milioni 10 na vifo vya watu milioni 3, ...Nafasi 86 za Ajira Serikalini
POST: ACCOUNTS OFFICER – 1 POST Employer: Taasisi ya Uongozi More Details 2025-03-26 Login to Apply POST: MONITORING AND EVALUATION OFFICER, – 1 POST Employer: Taasisi ...