Habari
NEC: Spika Ndugai hakututaarifu kuhusu Jimbo la Ndanda kuwa wazi
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mvutano kuhusu uhalali wa ubunge wa Cecile Mwamba katika Jimbo la Ndanda, Mtwara, baada ya kujivua ...Aliyekuwa bosi wa Bohari ya Dawa na msaidizi wake washikiliwa na TAKUKURU
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inamshikilia aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa Tanzania (MSD), Laurian Bwanakunu kwa tuhuma ...Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli: Wanaotaka kugombea wajitathmini kama wanatosha
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt Magufuli amewataka wanachama wote wa chama hicho wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za ...Wagonjwa wa corona Dar es Salaam wabaki 4
Idadi ya wagonjwa wenye maambukizi ya virusi vya corona nchini Tanzania imezidi kupungua ambapo sasa kwa Mkoa wa Dar es Salaam wagonjwa ...