Habari
Ofisi mpya kujengwa Ikulu ya Chamwino, Dodoma
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amekagua maandalizi ya sherehe za uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za Ikulu, Chamwino mkoani ...Prof. Ndalichako: Wanafunzi wasilipishwe ada kwa kipindi walichokua majumbani
Serikali imesema kuwa wanafunzi hawatolazimika kulipa ada ya kipindi walichokuwa majumbani kutokana na shule hizo kufungwa na serikali kama njia ya kudhibiti ...Mkuu wa UDSM, Dkt. Jakaya Kikwete akagua Hosteli za Magufuli zilizotumika kama karantini
Vyuo vikiendelea na michakato ya kuanza tena masomo Juni Mosi mwaka huu, hatua mbalimbali zimechukuliwa na vyuo husika pamoja na serikali kuhakikisha ...Ufafanuzi wa serikali kuhusu kidato cha sita kwenda shule na malimao na tangawizi
Serikali imekanusha taarifa kuwa imewataka wanafunzi wa kidato cha sita watakaoanza masomo Juni Mosi mwaka huu kwenda shuleni wakiwa na malimao na ...