Habari
Ushiriki wa Rais Samia kwenye mkutano wa G20 utakavyoleta tija kwa Tanzania
Rais Samia Suluhu anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Brazil ambapo atashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama ...CHADEMA: Hatujawahi kujadili kuhusu serikali ya nusu mkate
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijawahi kuletewa hoja ya kugawana madaraka kutoka Chama chochote au kutoka kwa Serikali wala hoja ...Watatu wauawa na wananchi akiwemo mganga wa kienyeji kwa kumuua mwanamke na kuchukua viungo
Watu watatu wameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kufanya mauaji ya mwanamke aliyejulikana kwa jina la ...Wataalam: Usikae zaidi ya dakika 10 maliwatoni ni hatari kwa afya
Inaweza kuonekana kama jambo la kawaida na lisilo na madhara kutumia muda mrefu unapokuwa maliwatoni. Hata hivyo, wataalamu wanaonya kuwa kukaa muda ...Polisi: Tutawakamata waliojaribu kumkamata kwa nguvu mfanyabiashara
Jeshi la Polisi nchini limesema litawakamata watu walioonekana kwenye picha mjongeo wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza kwenye gari kwa nguvu Deogratius Tarimo, ...Watu sita wakamatwa kwa kuhujumu miundombinu ya reli ya SGR
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watuhumiwa wawili, Said Sempinga (39) na Michael Robert (44) wote wakazi wa Kilosa kwa tuhuma ...