Habari
Serikali yaeleza sababu ya kuiwekea 'kikwazo' mizigo inayoingia kutoka Zanzibar
Serikali imetolea ufafanuzi kuhusu kitendo cha mizigo inayoingizwa kutoka Zanzibar kuja Tanzania Bara kuwekewa vikwazo, sawa na mizigo nayoingizwa kutoka nchi nyingine, ...TANESCO haihitaji ruzuku ya serikali na litaanza kutoa gawio- Waziri Dk Kalemani
Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani amesema kwamba Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa sasa halihitaji ruzuku kutoka serikalini na kuanzia mwaka ...Serikali yaeleza sababu ya kutoshuka kwa bei ya taulo za kike licha ya kodi kufutwa
Na. Peter Haule, WFM, DodomaSerikali imesema kuwa nguvu ya soko pamoja na gharama nyingine zimechangia kutoshuka kwa bei ya taulo za kike ...Tanzania kuuza tani laki 7 za mahindi nchini Zimbabwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema Tanzania itaiuzia Zimbabwe tani 700,000 za mahindi kufuatia nchi ...