Habari
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa MSD
Rais Tanzania Dkt Magufuli amemteua Brigedia Jenerali Dkt. Gabriel Mhidize kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD). Taarifa iliyotolewa na Murugenzi ...Rais Magufuli aeleza sababu ya kumteua tena Mwigulu Nchemba
Rais wa Tanzania Dkt Magufulia amesema kuwa amemteua tena Mwigulu Nchemba kwa sababu vijana wengi aliowateua hawajamuangusha hivyo anaamini na yeye atafanya ...Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Katiba na Sheria
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri ...Corona: CHADEMA yawaagiza wabunge wake kutohudhuria vikao vya bunge
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wabunge wake kusitisha mara moja kuhudhuria vikao vya bunge pamoja na kamati zake, ili kujikinga ...Bunge lashauri wanaofariki wazikwe kwenye maeneo yao
Spika wa Bunge la Tanzania, John Ndugai ameshauri watu kuzikwa kwenye maeneo yao pindi wanapofariki, kwani kwa kutokufanya hivyo kunapelekea baadhi kuhofia ...