Habari
ACT Wazalendo wamtaka Waziri Mchengerwa kuwarejesha wagombea wao waliokatwa
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa kuwarejesha ...TAMISEMI: Wagombea ambao hawajaridhishwa na uteuzi waweke pingamizi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi ...Mwalimu adaiwa kumlewesha mhitimu wa darasa la saba na kumbaka shuleni
Mwalimu wa taaluma katika shule ya Msingi Rulanda, wilayani Muleba, mkoani Kagera anatuhumiwa kumpaka vitu vinavyodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya kisha ...Baba amuua mtoto wake baada ya kugombana na mke wake
Polisi katika eneo la Adungosi, Kaunti ya Busia, eneo bunge la Teso Kusini nchini Kenya, wamemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 30 ...Mbunge: Kuna uwezekano video 400 za Baltasar zimetengenezwa
Mwakilishi wa Wanawake wa Nairobi katika Bunge la Kenya, Esther Passaris, ameamsha mjadala mzito kuhusu matumizi ya akili bandia (AI) katika ulimwengu ...Kampuni 10 za wazawa zadai kusitishiwa mikataba na kampuni ya madini bila taarifa
Kampuni kumi za wazawa nchini Tanzania zinazotoa huduma kwa Shanta Mine zimetoa malalamiko kuhusu mikataba yao kusitishwa bila sababu za msingi, huku ...