Habari
Mwalimu Mkuu ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbakaji, kumlawiti mwanafunzi
Mahakama mkoani Mara imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela aliyekuwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Masahunga, Wilayani Bunda, mkoani humo, Vicent ...Trump: Nitakuwa mkarimu sana kwenye mazungumzo ya kibiashara na China
Donald Trump amesema anapanga kuwa mkarimu sana kwa China katika mazungumzo yoyote ya kibiashara, na kwamba ushuru wa forodha utapunguzwa endapo mataifa ...Waziri Gwajima: Tutamhoji Mwijaku kuhusu sakata la mabinti wa vyuo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amesema mtu aliyetajwa kwa jina la Mwijaku kwenye video ...Mrithi wa Papa Francis anaweza kutoka Afrika?
Tetesi kuhusu mrithi wa Papa Francis zimeanza baada ya kifo chake, huku Kardinali Robert Sarah kutoka Guinea akitajwa kuwa miongoni mwa wanaopewa ...Kapteni Ibrahim Traoré akoswa kupinduliwa
Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imetangaza kuwa imefanikiwa kuzuia jaribio kubwa la mapinduzi dhidi ya kiongozi wake, Kapteni Ibrahim Traoré. Waziri ...Vodacom Yazindua Twende Butiama 2025 kwa Lengo la Kuboresha Elimu, Afya na Mazingira
Kwa miaka ishirini na tano, Vodacom Tanzania PLC imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuchochea maendeleo endelevu katika jamii. Msafara wa Twende Butiama ...









