Habari
Mlezi wa kituo cha kulea watoto yatima akamatwa kwa kubaka watoto watano
Jeshi la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Stephano Maswala (35), mlezi wa kituo cha kulea watoto yatima kilichopo Mlandizi kwa kosa la kubaka ...Wakuu wa Nchi EAC na SADC wasisitiza mazungumzo kurejesha amani DRC
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inaendelea kujitolea kusaidia juhudi zinazoendelea za kidiplomasia kumaliza mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ...Wizara ya Afya yafafanua upatikanaji wa dawa za ARV
Wizara ya Afya imesema dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV) haziuzwi na zipo za kutosha, hivyo watumiaji wa dawa ...Barabara zitakazofungwa katika mkutano wa SADC
Tanzania imepata fursa ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na ...Rais wa Colombia apendekeza kokeini ihalalishwe duniani kote
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amesema biashara ya kokeini inaweza kudhibitiwa kwa urahisi ikiwa dawa hiyo itahalalishwa duniani kote, kwakuwa dawa hiyo ...Akiri kumbaka mtoto wa miaka mitano, adai ni shetani alimpitia
Mahakama ya wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Nicholaus Paulo Kidoganya (21) mkazi wa Kijiji cha Nyehunge, kifungo cha miaka 30 jela baada ...