Habari
Jaji wa Mahakama ashitakiwa kwa kumtorosha mtuhumiwa
Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Milwaukee, nchini Marekani, Hannah Dugan, amekamatwa na maafisa wa FBI na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za ...Tanzania yaondoa zuio la kuingiza mazao nchini kwa Afrika Kusini na Malawi
Wizara ya Kilimo imetangaza kuondoa mazuio yote yaliyowekwa kwa nchi za Afrika Kusini na Malawi ya kuingiza mazao nchini kufuatia majadiliano yanayoendelea ...Ashikiliwa kwa tuhuma za kuchoma nyumba iliyoua watu tisa, chanzo mgogoro wa ardhi
Jeshi la Polisi nchini Kenya linamshikilia Christopher Okello Owino kama mshukiwa mkuu wa tukio la kuchoma nyumba moto uliosababisha vifo vya watu ...Polisi yatoa taarifa ya mwanaume kuokotwa Coco Beach na baadaye kufariki
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi yake anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 hadi 35, amekutwa kwenye mchanga wa ufukwe ...Prof. Mkumbo: Serikali itaendelea kufanya ufuatiliaji mali za serikali zilizopo chini ya Ofisi ya Hazina
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema serikali itaendelea kufanya tathmini na ufuatiliaji wa mali za ...Serikali kuendeleza mabonde ili kukabiliana na mafuriko nchini
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa ...