Habari
Tanzania yaidhinishiwa mikopo yenye thamani ya trilioni 2 kutoka IMF
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeidhinisha mikopo yenye thamani ya dola milioni 935.6 [TZS trilioni 2.45] kwa Tanzania ili kusaidia mageuzi ...Nchi 10 za Afrika zinazoongoza kutembelewa na watalii mwaka 2024
Ripoti ya Maendeleo ya Usafiri na Utalii mwaka 2024, inaonyesha kwamba Afrika Kusini inashikilia nafasi ya juu zaidi barani Afrika, ikifuatiwa na ...Padri anayedaiwa kuhusika kwenye mauaji ya mtoto albino asimamishwa kutoa huduma za kiroho
Jimbo la Katoliki la Bukoba limemsimamisha huduma za kichungaji, Padri Elipidius Rwegoshora anayedaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto albino, Asimwe Novart mpaka ...Kwanini Mbappe hataruhusiwa kuvaa ‘mask’ ya bendera ya taifa kwenye mechi dhidi ya Uholanzi?
Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe hataruhusiwa kuvaa barakoa yenye rangi tatu inayofanana na bendera ya taifa ya Ufaransa atakaporejea kucheza katika Mashindano ...Vinywaji 5 vinavyosababisha ngozi kuzeeka
Kila mtu anapenda kuonekana akiwa na ngozi nzuri yenye kupendeza. Hata hivyo, baadhi ya watu hawafahamu kuwa baadhi ya mazoea yanaweza kuwa ...Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau kuzalisha fursa za uwekezaji nchini
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kukutana na Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau na Mwenyekiti wa Taasisi ya Muungano wa Viongozi wa Afrika ...