Habari
Baba na binti yake washitakiwa kwa kupanga kuua familia kwa sababu ya mali
Mzee mwenye umri wa miaka sabini na mbili, Antony Muya ameshtakiwa kwa kupanga kumuua mke wake wa zamani na watoto wake wanne ...Wawili washikiliwa kwa mauaji Arusha
Watu wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha kwa tuhuma za kumuua Israel Paulo (36), Mkulima na Mkazi wa Leguruki, Wilaya ...Adani Foundation kushirikiana na IITM Zanzibar kusaidia elimu ya juu Tanzania
Tanzania East Africa Gateway Terminal Limited (TEAGTL), through the Adani Foundation,announced the signing of a Memorandum of Understanding (MOU) with IIT-Madras Zanzibar ...Dkt. Mpango aagiza kasi ya usambazaji maji ili kutatua kero za maji
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ameitaka Wizara ya Maji kuendelea na kasi ya usambazaji maji kutoka Ziwa Victoria ili kutatua adha ...Jeshi la Polisi kuchunguza vifo vya watoto mapacha Tegeta
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linafanya uchunguzi wa vifo vya kutatanisha vya watoto mapacha ambao walifariki baada ...Mfahamu Naibu Rais Gachagua na kwanini Wakenya wanataka kumuondoa madarakani
Mwanasiasa aliyepitia kwenye taasisi ya mafunzo ya Upolisi mwaka 1990 baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa ya Sayansi ya Siasa na Fasihi ...