Habari
Rais Samia: Tutafanyia kazi Ripoti ya CAG, TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali iko tayari kuendelea kufanyia kazi maoni na mapendekezo yaliyotolewa ndani ya taarifa ya Taasisi ya Kuzuia ...CAG: Deni la Taifa lafikia TZS trilioni 97.35
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles E. Kichere amesema kufikia Juni 30, 2024, deni la Serikali lilifikia shilingi ...Jenerali Tchiani aapishwa kuwa Rais wa Mpito wa Niger
Kiongozi wa Jeshi la Niger, Jenerali Abdourahamane Tchiani ameapishwa kuwa Rais wa Mpito wa nchi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano Uamuzi ...Ulega akutana viongozi wakuu wa kampuni kutoka China kujadili miradi inayosua sua
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amekutana na viongozi wakuu wa kampuni kutoka China zinazosimamia miradi ya ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo ...Mwenezi BAWACHA Njombe adaiwa kushambuliwa na mlinzi wa CHADEMA
Mwenezi wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA) Taifa, Sigrada Mligo, mkazi wa Mji mwema mkoani Njombe ameripotiwa kujeruhiwa na mlinzi wa chama ...Watu 18 wafariki baada ya moto mkubwa kuzuka Korea Kusini
Takriban watu 18 wamepoteza maisha na wengine 19 kujeruhiwa kutokana na moto mkubwa uliozuka Mashariki mwa Korea Kusini, huku zaidi ya watu ...









