Maisha
Majaliwa: wafanyabiashara endeleeni kuwa na imani na Rais Samia
WaziriMkuu, Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini kuendelea kuwa na imani na Rais Samia Suluhu Hassan kwani amedhamiria kutatua changamoto zinazohusu ...Wizara ya Maji yapongezwa kwa kufikisha huduma ya maji kwa wananchi wengi
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa Wizara ya Maji kutokana na kasi ya utendaji wake katika sekta ya maji nchini na ...Waandishi wa Habari 18 washambuliwa na wanajeshi Uganda
Waandishi wa habari 18 wamedai kushambuliwa vikali na wanajeshi wa Uganda pamoja na maafisa wa kikosi cha kupambana na ugaidi katika eneo ...Amnyonga na kumtupa kwenye shimo la choo mwanaye wa miezi 9 baada ya ugomvi na ...
Polisi nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa makamo anayedaiwa kumuua binti yake wa miezi tisa katika Soko la Ikanga, tarafa ya Mutomo, Kaunti ...Binti wa miaka 15 ashikiliwa kwa kutoroka na mtoto wa mwajiri wake
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Christina Nashoni (15), mkazi wa Kijiji cha Malagarasi, Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, kwa tuhuma za ...Serikali: Mikopo ya bilioni 82 imetolewa kwa wanawake, vijana na walemavu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amesema katika mwaka wa Fedha 2024/25, ...