Maisha
Hamas yaachilia miili ya Waisrael wanne waliokuwa mateka
Kundi la Hamas limeachilia miili ya watu wanne akiwemo mwanamke na watoto wake wawili, pamoja na mwanaume mzee mwenye umri wa miaka ...Baraza la Wazee Arusha lamwomba Rais kuteua mwakilishi wao bungeni
Baraza la Wazee Arusha limetaka ushirikishwaji katika vikao mbalimbali vya kijamii na ngazi za kimaamuzi ikiwemo Bungeni ili kutumia hekima na busara ...NCCR Mageuzi yasema haiko tayari kuungana na vyama vingine Uchaguzi Mkuu
Chama cha NCCR- Mageuzi kimetangaza kwamba hakina mpango wa kushirikiana na chama chochote katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 na kimethibitisha kushiriki ...Wananchi 1,386,656 wafikiwa na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
Wizara ya Katiba na Sheria imeeleza kuwa tangu kuzinduliwa kwa Kampeni ya kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia, Jumla ya ...Adaiwa kumuua mume wake baada ya kugundulika kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine
Mwanamke tajiri na mama wa watoto watatu, Jennifer Gledhill (42), amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumpiga risasi mumewe hadi kufa akiwa amelala ...Baba aliyeua watoto wake watatu ahukumiwa miaka 150 jela
Mahakama Kuu ya Bomet nchini Kenya imemhukumu kifungo cha miaka 150 jela mwanaume aitwaye Benard Kipkemoi Kirui mwenye umri wa miaka 40 ...