Maisha
Gwajima: Si rahisi kufikia usawa wa kijinsia bila mchango wa TANESCO
Kuelekea Siku ya Wanawake Dunia Machi 8,2026, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amesema siyo ...Rais Samia: Ushirikishwaji sekta binafsi umeongeza mapato na ufanisi wa Bandari
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uamuzi wa kuishirikisha sekta binafsi katika uendeshaji wa bandari umeongeza kwa kiasi kikubwa mapato ya Serikali ...Tanzania yatoa tahadhari kwa Watanzania waliopo Mashariki ya Kati
Serikali imetoa tahadhari kwa Watanzania wanaoishi au kusafiri katika eneo la Mashariki ya Kati, ikiwemo Bahrain, Israel, Kuwait, Qatar, Falme za Kiarabu ...Serikali yakanusha upotoshaji kuhusu uchunguzi Saratani ya Matiti
Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala limekanusha taarifa inayosambaa mitandaoni kuwa uchunguzi wa Saratani ya Matiti kwa kutumia ‘biopsia’ husababisha saratani ...Ahukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kusafirisha mirungi
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Richard Peter Mahimbo (25), mkazi wa Kiomoni, Tanga kwa ...Polisi: Tumeshtushwa na taarifa za mchungaji kutekwa
Jeshi la Polisi limesema limeshtushwa na taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai kuwa Mchungaji Yanick Mbombo Cele, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ...








