Maisha
Mtaalamu wa usingizi kwenda jela maisha kwa kuwapa sumu wagonjwa
Mahakama nchini Ufaransa imemhukumu kifungo cha maisha jela daktari wa usingizi, Frédéric Péchier (53) kwa kuwatia sumu kwa makusudi wagonjwa 30, huku ...Polisi waanza uchunguzi waombolezaji kuchoma magari yaliyosafirisha mwili wa marehemu
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limesema linafanya uchunguzi wa tukio la kuchoma na kuharibu magari mawili katika Wilaya ya Mvomero yaliyokuwa yakisafirisha ...Serikali: Tanzania na Marekani zitaendeleza mazungumzo kuhusu udhibiti wa viza
Serikali imesema itaendeleza mazungumzo ya kidiplomasia na Serikali ya Marekani yanayolenga kupata muafaka kuhusu uamuzi wa kuiweka Tanzania katika kundi la nchi ...Maafisa watatu wa uhamiaji wahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa mauaji
Mahakama Kuu ya Tanzania imewahukumu kunyongwa hadi kufa maafisa watatu wa Uhamiaji; Fredrick Kyomo, Joachim Trathizius na Mabruki Hatibu, kwa kosa la ...Watoto watuhumiwa kumuua mama yao mzazi wakimtuhumu mchawi
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linawashilikilia watu watatu wa familia moja kwa tuhuma za mauaji ya mama yao mzazi, Mariamu Ngasa (69), ...Aliyekuwa kiongozi wa waasi DRC ahukumiwa miaka 30 jela
Aliyekuwa kiongozi wa kundi la waasi, Roger Lumbala (67), amehukumiwa na Mahakama ya Paris kifungo cha miaka 30 jela kwa kushiriki katika ...








