Maisha
Waziri Makamba ashiriki mkutano wa 45 wa Baraza la Mawaziri wa EAC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba (Mb.) ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa Kawaida wa ...Jeshi la Polisi lapiga marufuku kampuni za ulinzi kutumia Gobore
Jeshi la Polisi nchini limepiga marufuku kampuni binafsi za ulinzi kutumia silaha zilizotengenezwa kienyeji aina ya gobore kinyume na sheria. Akitoa taarifa ...Ruto akataa kusaini Muswada wa Fedha 2024
Rais wa Kenya, William Ruto amesema hatatia saini Muswada wa Fedha wa 2024 baada ya Wakenya kuupinga vikali muswada huo na kufanya ...PDPC: Wanaofunga CCTV kamera maeneo ya faragha wanakiuka sheria
Tume ya Ulizi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imezionya taasisi na kampuni zote nchini zinazotumia kamera za usalama katika maeneo mbalimbali ya faragha ...Serikali: Rais Mwinyi ataongoza kwa kufuata katiba
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Rais Dkt. Hussein Mwinyi ataendelea kuheshimu utaratibu uliowekwa wa Rais kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano ...Padri anayedaiwa kuhusika kwenye mauaji ya mtoto albino asimamishwa kutoa huduma za kiroho
Jimbo la Katoliki la Bukoba limemsimamisha huduma za kichungaji, Padri Elipidius Rwegoshora anayedaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto albino, Asimwe Novart mpaka ...









