Maisha
Rais Samia awataka viongozi kutotumia vyeo kunyanyasa watu
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko aliyoyafanya ya viongozi mbalimbali Serikalini si adhabu kwa viongozi hao, bali yanalenga kuimarisha maeneo mbalimbali kwa ...Wanaoweka kope bandia, lenzi hatarini kupoteza uwezo wa kuona
Wanawake wanaoweka kope bandia na wanaovaa lenzi za miwani bila kupima wako katika hatari ya kupata matatizo makubwa ya kuona kiasi cha ...Wananchi Gabon waunga mkono mapinduzi, Rais aomba msaada
Baada ya wanajeshi nchini Gabon kutwaa mamlaka ya nchi hiyo wakibatilisha matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Rais Ali Bongo, Rais Bongo ameonekana ...Wajue Marais wa Afrika waliopinduliwa na jeshi wakiwa madarakani
Mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi au kikundi cha kijeshi kinapochukua udhibiti wa serikali kwa nguvu na kumpindua Rais au kiongozi ...Daktari feki akamatwa Muhimbili akifanya utapeli
Hospitali ya Taifa Muhimbili imemkamata mkazi wa Mbagala mkoani Dar es Salaam aliyejitambulisha kwa jina la Mussa Mawa akijihusisha na utapeli kwa ...Balozi Karume aibua mapya baada ya kuvuliwa uanachama CCM
Balozi Ali Abeid Karume ameweka wazi kuwa hatakata rufaa baada ya kuvuliwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiamini kuwa hajafukuzwa ndani ...