Maisha
Bosi wa uwanja wa ndege Kenya atimuliwa baada ya umeme kukatika
Waziri wa Uchukuzi nchini Kenya, Kipchumba Murkomen amefuta mkataba wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege vya Kenya (KAA), Alex ...Ashikiliwa kwa kumwagia maji ya moto mke mwenzake msibani
Mkazi wa Kata ya Lugata, Kisiwa cha Kome wilayani Sengerema, Vumilia Kasembo (32) anashikiliwa na Ofisi ya Mtendaji wa Kata kwa madai ...Ommy Dimpoz afunguka ukaribu wake na Diamond
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo maarufu kama ‘Ommy Dimpoz’ amesema kwamba msanii mwenzake Diamond Platnumz hakuhusika na tatizo lake ...Mahakama yatengua hukumu ya Mfalme Zumaridi
Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza imetengua hukumu ya kifungo cha miezi 12 aliyopewa Diana Bundala (Mfalme Zumaridi) na wenzake nane baada ya ...Mtanzania aliyetekwa Nigeria aachiwa huru
Frateri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma, Merikiori Mahinini (27) aliyekuwa ametekwa nyara na watu wasiojulikana nchini Nigeria ambako alipelekwa na Shirika ...JWTZ yatoa siku saba wenye sare za jeshi au nguo zinazofanania kuzisalimisha
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa siku saba kwa wananchi kusalimisha mavazi ya jeshi au yanayofanania na sare za ...