Maisha
Mbunge ataka Serikali irejeshe utaratibu wa pasipoti kuingia Zanzibar
Mbunge wa Jimbo la Konde, Zanzibar, Mohammed Issa amependekeza serikali irejeshe matumizi ya hati za kusafiria kwa ajili ya kuingia visiwani Zanzibar ...Polisi wakanusha kuhusika na kifo cha Babu G
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikidai polisi kuhusika kumuua Robert Mushi ...Wizara ya Maliasili kuboresha hali za wafanyakazi
Wizara ya Maliasili imepania kuendeleza hali bora ya wafanyakazi wakati huu sekta hizo zikiendelea kuwa na mchango mkubwa katika uchumi wa nchi ...Sababu 6 za Dar es Salaam kukabiliwa na mafuriko mara kwa mara
Dar es Salaam imekuwa ikikumbwa na mafuriko mara kwa mara na kusababisha kero kubwa hasa kwenye miundombinu. Mafuriko haya si tu yanahatarisha ...Mambo 6 muhimu ya kuzingatia unapoendesha gari kipindi cha mvua
Mvua ni mojawapo ya hali ya hewa ambayo inaweza kuathiri usalama wa barabarani. Wakati wa kuendesha katika hali ya mvua, ni muhimu ...RC Singida aagiza kukamatwa kwa wanafunzi wa kike waliopata mimba
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego ameagiza kukamatwa kwa wanafunzi wa kike waliopata mimba wakiwa shuleni pamoja na wazazi wao na ...









