Maisha
Waliofanya uzembe ghorofa lililoanguka Magogoni kuchukuliwa hatua
Kufuatia kuanguka kwa jengo la ghorofa mbili katika eneo la Magogoni, Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amezielekeza Bodi ya ...Mwanamke akamatwa kwa kupeleka maiti benki ili asaini mkopo
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Érika de Souza Vieira Nunes wa nchini Brazil amekamatwa baada ya kupeleka maiti benki, akitumaini kwamba ...Rais Samia kutunukiwa Udaktari wa Heshima na Chuo Kikuu cha Ankara, Uturuki
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba (Mb.) amesema Seneti ya Chuo Kikuu cha Ankara ambacho ni ...Nchi 10 za Afrika zenye kiwango kikubwa cha wasiojua kusoma na kuandika
Kutokujua kusoma na kuandika kunaweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya nchi. Watu wasiojua kusoma na kuandika ...Dereva wa ajali iliyoua wanafunzi Arusha ashtakiwa kwa kuua bila kukusudia
Lukuman Hemed, dereva wa basi la Shule ya Msingi Ghati Memorial lililosombwa na maji na kuua wanafunzi saba jijini Arusha amepandishwa kizimbani ...Rais atoa tani 189 za mbegu kwa wakulima walioathirika na mafuriko Kilombero
Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa tani 189 za mbegu za mpunga, mahindi na alizeti ili zisambazwe kwa wakulima wa wilaya ya ...









