Maisha
Wajue Marais wa Afrika waliopinduliwa na jeshi wakiwa madarakani
Mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi au kikundi cha kijeshi kinapochukua udhibiti wa serikali kwa nguvu na kumpindua Rais au kiongozi ...Daktari feki akamatwa Muhimbili akifanya utapeli
Hospitali ya Taifa Muhimbili imemkamata mkazi wa Mbagala mkoani Dar es Salaam aliyejitambulisha kwa jina la Mussa Mawa akijihusisha na utapeli kwa ...Balozi Karume aibua mapya baada ya kuvuliwa uanachama CCM
Balozi Ali Abeid Karume ameweka wazi kuwa hatakata rufaa baada ya kuvuliwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiamini kuwa hajafukuzwa ndani ...Askari 17, maafisa wawili washikiliwa kwa kusababisha vifo vya watu wawili
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji askari 11 wa kampuni ya ulinzi, maafisa wawili wa Wakala ...Mbeya: 14 washitakiwa kwa uhujumu uchumi, kisa mapato ya halmashauri
Watu 14 wamefikishwakatika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Mbeya na kufunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi Namba 03/2023 wakituhumiwa kuendesha genge la uhalifu ...Tanzania ya 10 Afrika kwa wanawake kuthamini zaidi urembo
Utafiti uliofanywa na Sagaci Research umebaini kwamba wanawake nchini Nigeria wanathamini zaidi mwonekano wao wa nje. Kwa mujibu wa utafiti huo, asilimia ...