Maisha
Ruto awaonya maafisa wa polisi juu ya mauaji ya raia
Rais wa Kenya, William Ruto amewaonya maafisa wa polisi dhidi ya mauaji ya kiholela ya waandamanaji wanaoipinga serikali, huku upande mwingine akisisitiza ...Tanzania kukumbwa na El Nino, hizi ni njia rahisi za kujikinga
Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), El Nino ni mfumo wa hali ya hewa unaosababishwa na uwepo wa ...Malawi yakabiliwa na uhaba wa mafuta, nauli zapanda
Malawi inakabiliwa na uhaba wa mafuta unaopelekea misururu mirefu ya magari katika vituo vya mafuta yanayosubiri kwa saa kadhaa na wakati mwingine ...Serikali yamwajiri Mariam anayekumbatia watoto njiti
Serikali imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu anayejitolea kukumbatia watoto njiti waliotelekezwa katika Hosptali ya Rufaa ya mkoa Amana jijini Dar ...Rais Samia amzawadia milioni 2 mwanamke anayejitolea kuwakumbatia watoto njiti
Rais Samia Suluhu Hassan amemzawadia TZS milioni 2 Mariam Mwakabungu (25) mkazi wa Kinyerezi jijini Dar es Salaam kutokana na kujitolea kwake ...Mwalimu atoroka baada ya mwanafunzi aliyemchapa kufariki
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamtafuta mwalimu wa shule ya Msingi Samanga wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro baada ya kuhusishwa na kifo ...