Maisha
Sakata la kelele, Waziri Mkuu atoa maagizo kwa wakuu wa mikoa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa mikoa nchini kukaa na mabaraza ya biashara na wamiliki wa kumbi za starehe katika mikoa ...Balozi aliyewafananisha Waafrika na nyani arudishwa kwao
Romania imemrudisha nyumbani balozi wake kutoka nchini Kenya, Dragos Tigau na kuomba msamaha baada kuwalinganisha Waafrika na nyani. Balozi huyo alitoa maneno ...Rais Samia atengua uteuzi viongozi wa juu ofisi ya Kabidhi Wasii Mkuu
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua, Frank Kanyusi Frank kuwa Kabidhi Wasii Mkuu akichukua nafasi ya Angela Anatory ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Kabla ...Watoto wanne walionusurika ajali ya ndege wapatikana msituni hai baada ya siku 40
Watoto wanne wamepatikana wakiwa hai baada ya kunusurika kwenye ajali ya ndege na kukaa kwa siku 40 wakijihudumia katika msitu wa Amazoni ...Walioiba milioni 47 na kuficha benki wakamatwa
Jeshi la Polisi mkoani Manyara linawashikilia Juma Athumani (23) na Mariam Mbega (26) kwa tuhuma za kuvunja nyumba na kuiba TZS milioni ...Tamko la ACT-Wazalendo kuhusu suala la uendeshaji wa bandari kwa kushirikiana na sekta binafsi
[pdf-embedder url=”https://swahilitimes.co.tz/wp-content/uploads/2023/06/Statement-Mkataba-wa-Bandari-4.pdf” title=”Statement-Mkataba wa Bandari (4)”]