Maisha
Fei Toto amshukuru Rais Samia kujiunga rasmi Azam FC
Mchezaji mpya wa Azam FC, Feisal Salum (Fei Toto) amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha kuweza kuachana na timu yake ya ...Dkt. Tulia ayaonya Nipashe na The Guardian upotoshaji suala la Bandari
Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amekanusha habari zilizochapishwa na magazeti ya Nipashe na The Guardian vikieleza kuwa bunge limeridhia ...EWURA yatangaza bei mpya za mafuta kuanzia Juni 7
[pdf-embedder url=”https://swahilitimes.co.tz/wp-content/uploads/2023/06/Cap-Prices-wef-7th-June-2023-Kiswahili_230606_205138-3.pdf” title=”Cap Prices wef 7th June 2023 – Kiswahili_230606_205138 (3)”]Hospitali ya Muhimbili yapiga marufuku mifuko ya plastiki
Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki katika mazingira ya hospitali ikiwemo wodini na maeneo mbalimbali ...Kwanini Mkoa wa Kagera ni mkoa masikini zaidi nchini?
Mkoa wa Kagera unapatikana Kaskazini-Magharibi mwa Tanzania. Jina lake linatokana na mto Kagera. Mkoa huu unapakana na nchi ya Uganda kwa Kaskazini, ...Serikali yavuka lengo la makusanyo ya mapato ya ‘betting’
Serikali imefanikiwa kuvuka lengo katika makusanyo ya michezo ya kubashiri ambapo kufikia mwezi Mei mwaka huu imekusanya TZS bilioni 146.9 na ambapo ...