Maisha
Waziri Kairuki: Waombaji wa ajira 419 walidanganya kuwa ni walemavu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Angellah Kairuki amesema kati ya waombaji 171,916 walioomba ...Watu 260 wafariki kwenye ajali India
Zaidi ya watu 260 wamefariki dunia na 1,000 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha treni tatu katika jimbo la Odisha Mashariki mwa India usiku ...Magunia 731 ya bangi yakamatwa Arusha, hekari 308 zateketezwa
Kufuatia agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kufanya operesheni nchi nzima ili kuhakikisha dawa za kulevya zinatokomezwa nchini, Mamlaka ya Kudhibiti ...JKT: Hakuna mateso kwenye mafunzo kwa vijana
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limewatoa hofu wazazi, walezi na vijana kuhusu malezi ya vijana walioitwa kuhudhuria mafunzo ya JKT kwamba ni ...Rais Samia awafuta machozi wananchi wa Ukerewe
Wizara ya Afya imesema baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuona changamoto wanayopitia wananchi wa Ukerewe ya kukosa huduma bora za afya ...Masharti ya Benki Kuu Tanzania kwa wanaofanya biashara ya fedha za kigeni
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emanuel Tutuba amepiga marufuku taasisi zinazofanya biashara ya fedha za kigeni na madalali wa kimataifa wa ...