Maisha
Mtoto wa miaka 14 ashtakiwa kwa madai ya kubaka mtoto mwenzake
Mtoto mwenye umri wa miaka 14 (jina linahifadhiwa) mkazi wa Mji mdogo wa Katoro Wilaya ya Geita mkoani Geita amefikishwa mbele ya ...TPSF: Adhabu za kufungia maeneo ya biashara itolewe na mahakama
Kufuatia Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), kufungia jumla ya baa na kumbi za starehe 89 baada ya ...Aweso: Rais Samia ameimarisha kwa kasi huduma ya maji mijini na vijijini
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais Samia Suluhu, hali ya upatikanaji wa huduma ...Upandikizaji Uloto kuwasaidia zaidi wagonjwa wa selimundu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeamua kuwekeza shilingi bilioni 2.7 ili kuanzisha huduma ya upandikizaji uloto na kupunguza gharama za matibabu ...Ishara 8 zinazoashiria uko katika uhusiano na mtu anayeaminika
Kuaminiana ni moja ya mambo muhimu katika uhusiano. Hutuwezesha kujisikia salama, hutoa ulinzi na kutusaidia kujenga na kuimarisha mahusiano. Ikiwa hamwamini mpenzi ...Kesi ya Makonda na Lemutuz ya madai ya kuiba Range Rover yafutwa
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefuta shauri la madai lililofunguliwa na mfanyabiashara Patrick Kamwelwe dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar ...